TANZANIA KUNA WANAWAKE WAZURI SIJUI KWANINI JUX KAENDA KUOA NIGERIA

Katika kile kinachoonekana kuwa hisia za mshangao na mapenzi ya dhati kwa uzuri wa wanawake wa Tanzania, msanii maarufu Harmonize ametoa kauli kali kwenye ukurasa wake wa Instagram. Akiwa amevutiwa na video za harusi ya Juma, Harmonize ameandika: “MAN I JUST SAW THE VIDEOS OF THE WEDDING, TANZANIAN WOMEN ARE BEAUTIFUL, BOMBCLAAAAAAAT! One can ask themselves, why did Juma go all the way to Nigeria while the light is shining right here at home!” Kauli hiyo imezua mjadala mtandaoni, huku wengi wakikubaliana naye na wengine wakimtetea Juma kwa chaguo lake la mapenzi. Kama ilivyo kawaida ya Harmonize, alimalizia ujumbe wake kwa maneno yenye uzito: “Love is a beautiful thing” Je, una mtazamo gani kuhusu hili? Je, kweli mwanga ulikuwa hapa nyumbani? Toa maoni yako hapa chini na endelea kutembelea Dengah Media TZ kwa habari motomoto kama hizi!