HARUSI ZA KISASA, NDOA ZA AIBU – MWAKINYO AVUNJA UKIMYA!

 


Bondia maarufu Hassan Mwakinyo ametikisa mitandao baada ya kutoa ujumbe mzito kwa vijana wanaokimbilia harusi za kifahari bila msingi imara wa ndoa.

Katika ujumbe wake aliouachia kwenye  insta stori yake  Mwakinyo alisema:

"Kabla ya kufanya harusi za vishindo na hasara chungu nzima, hakikisheni na nyie waoaji ni waume kweli mkiwa ndani. Tumechoka na hizo skendo zenu za kukosa magongo!"

Ujumbe huu umeibua mjadala mkubwa mitandaoni, wengi wakikubaliana naye kuwa harusi nzuri haiwezi kufunika ndoa isiyo na misingi imara. Mwakinyo anaonekana kuwakumbusha vijana kuwa kuoa si fashion show  ni maisha halisi yanayohitaji uhalisia na uimara wa tabia.

Je, wewe unasemaje kuhusu kauli hii ya Mwakinyo? Unakubaliana naye?

Tupia maoni yako hapa chini! 👇

Comments

Popular posts from this blog

MAJUKUMU YANAWEZA KUMFANYA MUME AKAKOSA MAPENZI NA MKE WAKE

Ni LAZIMA UFANYE KAZI HARAMU ILI UPATE MAFANIKIO