WASAFI HAKUNA HELA NJAA KALI-LUKAMBA

 


Kupitia insta story ya mpiga picha maaruf na msanii lukamba amemtolea povu kubwa babalevo akimwambia kuwa yeye bado hajapotea yupo  kwenye game hivyo apunguze shobo kumfatilia na yeye sio wa kwanza kutoka wasafi mbona wapo wengi tu.

 Lakinia pia amedai kuwa wasafi hawana hela kama wanazo mbona hawalipi wafanyakazi wao vizuri watu wanajitoa kwa hali na mali  kutengeneza kazi nzuri ambazo mpaka leo wanajivunia nazo lakini hawalipwi vizuri.

 Madensa wamefanya kazi na diamond miaka mingi lakini hawana kiti ila walivyotoka kujipambania wamefanikiwa tayari.

"Imagine madensa wamehaso miaka kumi bila chochote maskin mpaka wamekimbia zao marekani mwaka mmoja washajenga

wangekufa njaaa maskin papylion si juzi tu hao ujawaona ni lukamba tu staki shobo Jamani"

Lakini pia lukamba akaendela kwa kusema kuwa wasafu pale hakuna hela ni njaa kali na ndo maana akaamua kuondoka ni jehanamu pale angekufa.

Je hayo maneno ni ya kweli?


Comments

Popular posts from this blog

MAJUKUMU YANAWEZA KUMFANYA MUME AKAKOSA MAPENZI NA MKE WAKE

Ni LAZIMA UFANYE KAZI HARAMU ILI UPATE MAFANIKIO