ENG. HERSI SAID APATA TUZO YA KIMATAIFA KUTOKA WORLD FOOTBALL SUMMIT (WFS)
Tuzo hiyo imetolewa wakati wa mkutano mkubwa wa kimataifa wa soka – WFS, uliofanyika katika Jiji la Rabat, nchini Morocco
Kupitia nafasi yake kama Mwenyekiti wa ACA, Eng. Hersi amekuwa mstari wa mbele kusukuma ajenda ya maendeleo ya vilabu vya Afrika, ushirikiano wa kiufundi, biashara ya soka, na uwezeshaji wa vipaji kupitia jukwaa la umoja huo.
Tunampongeza kwa heshima hii kubwa ya kimataifa — ni ushindi si kwake binafsi tu, bali kwa klabu yetu, nchi na bara la Afrika kwa ujumla
Comments
Post a Comment