CHELSEA WAWINDA VIJANA HATARI KUTOKA LA LIGA NA PREMIER LEAGUE!
Wakati huohuo, Chelsea pia wanahusishwa na winga wa kasi kutoka Real Betis, Jesus Rodriguez (19), ambaye ana kipengele cha kuachwa kwa dau la hadi £42 milioni. Je, vijana hawa wataingia rasmi Stamford Bridge msimu ujao?
Endelea kufuatilia Dengah Media TZ kwa taarifa motomoto za usajili!
Comments
Post a Comment